2 Wafalme 20:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Wakati huo, Hezekia akamwambia Isaya: “Kuna ishara+ gani kwamba Yehova ataniponya nami hakika nitapanda siku ya tatu kwenda katika nyumba ya Yehova?” Zaburi 65:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na wakaaji wa sehemu za mbali zaidi wataogopa ishara zako;+Unafanya kutokea kwa asubuhi na jioni kupige vigelegele kwa shangwe.+ Isaya 7:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Jiombee ishara kutoka kwa Yehova Mungu wako,+ ifanye kuwa yenye kina kirefu kama Kaburi* au uifanye kuwa ndefu kama maeneo ya juu.”
8 Wakati huo, Hezekia akamwambia Isaya: “Kuna ishara+ gani kwamba Yehova ataniponya nami hakika nitapanda siku ya tatu kwenda katika nyumba ya Yehova?”
8 Na wakaaji wa sehemu za mbali zaidi wataogopa ishara zako;+Unafanya kutokea kwa asubuhi na jioni kupige vigelegele kwa shangwe.+
11 “Jiombee ishara kutoka kwa Yehova Mungu wako,+ ifanye kuwa yenye kina kirefu kama Kaburi* au uifanye kuwa ndefu kama maeneo ya juu.”