Zaburi 19:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nalo ni kama bwana-arusi anapotoka katika chumba chake cha ndoa;+Linashangilia kama mwanamume mwenye nguvu anapokimbia njiani.+ Zaburi 148:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Msifuni, enyi jua na mwezi.+Msifuni, enyi nyota zote za nuru.+
5 Nalo ni kama bwana-arusi anapotoka katika chumba chake cha ndoa;+Linashangilia kama mwanamume mwenye nguvu anapokimbia njiani.+