Mwanzo 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na Mungu akaifanya mianga mikubwa miwili. Mwanga mkubwa utawale mchana na mwanga mdogo utawale usiku, na pia nyota.+ Zaburi 19:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Mbingu zinatangaza utukufu wa Mungu;+Nalo anga linatangaza kazi ya mikono yake.+ Zaburi 136:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Naam, jua ili litawale wakati wa mchana:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+
16 Na Mungu akaifanya mianga mikubwa miwili. Mwanga mkubwa utawale mchana na mwanga mdogo utawale usiku, na pia nyota.+
8 Naam, jua ili litawale wakati wa mchana:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+