29 “‘Na hii ndiyo itakayokuwa ishara kwako: Mwaka huu utakula mimea inayoota yenyewe; na katika mwaka wa pili utakula nafaka inayochipuka kutoka katika mimea hiyo;+ lakini katika mwaka wa tatu utapanda mbegu na kuvuna, nawe utapanda mashamba ya mizabibu na kula matunda yake.+