Isaya 37:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nao wakamwambia: “Hezekia amesema hivi, ‘Leo ni siku ya taabu+ na ya kemeo na ya dharau yenye dhihaka,+ kwa maana wana wamefika mpaka kwenye mlango wa tumbo la uzazi, na hakuna nguvu za kuzaa.+
3 Nao wakamwambia: “Hezekia amesema hivi, ‘Leo ni siku ya taabu+ na ya kemeo na ya dharau yenye dhihaka,+ kwa maana wana wamefika mpaka kwenye mlango wa tumbo la uzazi, na hakuna nguvu za kuzaa.+