3 Nao wakamwambia: “Hezekia amesema hivi, ‘Leo ni siku ya taabu+ na ya kemeo+ na ya dharau yenye dhihaka;+ kwa maana wana wamefika mpaka kwenye mlango wa tumbo la uzazi,+ na hakuna nguvu za kuzaa.+
17 Kama vile mwanamke mwenye mimba anapokaribia kuzaa, anavyopata maumivu, hulia akiwa katika maumivu yake ya kuzaa, ndivyo tumekuwa kwa sababu yako, Ee Yehova.+