Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 22:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Katika taabu yangu niliendelea kumwita Yehova,+

      Nami niliendelea kumwita Mungu wangu.+

      Ndipo kutoka katika hekalu lake akaisikia sauti yangu,+

      Kilio changu cha kuomba msaada kikaingia masikioni mwake.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 20:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 ‘Tukipatwa na msiba,+ upanga, hukumu mbaya, au tauni+ au njaa,+ acheni tusimame mbele ya nyumba hii+ na mbele zako (kwa maana jina lako+ limo katika nyumba hii), ili tukuombe msaada ili kutuondoa katika taabu yetu, nawe usikie na kuokoa.’+

  • Ayubu 5:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Yeye atakukomboa kutoka katika taabu sita,+

      Na katika saba kitu chochote chenye kudhuru hakitakugusa.+

  • Hosea 5:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Nitaenda, nitarudi mahali pangu mpaka watakapoibeba hatia yao;+ nao hakika watautafuta uso wangu.+ Watanitafuta,+ wanapokuwa katika dhiki kali.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki