2 Samweli 22:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Katika taabu yangu niliendelea kumwita Yehova,+Nami niliendelea kumwita Mungu wangu.+Ndipo kutoka katika hekalu lake akaisikia sauti yangu,+Kilio changu cha kuomba msaada kikaingia masikioni mwake.+ 2 Mambo ya Nyakati 20:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 ‘Tukipatwa na msiba,+ upanga, hukumu mbaya, au tauni+ au njaa,+ acheni tusimame mbele ya nyumba hii+ na mbele zako (kwa maana jina lako+ limo katika nyumba hii), ili tukuombe msaada ili kutuondoa katika taabu yetu, nawe usikie na kuokoa.’+ Ayubu 5:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Yeye atakukomboa kutoka katika taabu sita,+Na katika saba kitu chochote chenye kudhuru hakitakugusa.+ Hosea 5:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nitaenda, nitarudi mahali pangu mpaka watakapoibeba hatia yao;+ nao hakika watautafuta uso wangu.+ Watanitafuta,+ wanapokuwa katika dhiki kali.”+
7 Katika taabu yangu niliendelea kumwita Yehova,+Nami niliendelea kumwita Mungu wangu.+Ndipo kutoka katika hekalu lake akaisikia sauti yangu,+Kilio changu cha kuomba msaada kikaingia masikioni mwake.+
9 ‘Tukipatwa na msiba,+ upanga, hukumu mbaya, au tauni+ au njaa,+ acheni tusimame mbele ya nyumba hii+ na mbele zako (kwa maana jina lako+ limo katika nyumba hii), ili tukuombe msaada ili kutuondoa katika taabu yetu, nawe usikie na kuokoa.’+
19 Yeye atakukomboa kutoka katika taabu sita,+Na katika saba kitu chochote chenye kudhuru hakitakugusa.+
15 Nitaenda, nitarudi mahali pangu mpaka watakapoibeba hatia yao;+ nao hakika watautafuta uso wangu.+ Watanitafuta,+ wanapokuwa katika dhiki kali.”+