Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 18:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 mpaka nije na kuwachukua ninyi na kwa kweli niwapeleke katika nchi iliyo kama nchi yenu wenyewe,+ nchi yenye nafaka na divai mpya, nchi yenye mkate+ na mashamba ya mizabibu,+ nchi yenye mizeituni ya mafuta na asali;+ nanyi mwendelee kuishi, msije mkafa. Nanyi msimsikilize Hezekia, kwa maana anawashawishi ninyi, akisema, ‘Yehova mwenyewe atatukomboa.’+

  • 2 Mambo ya Nyakati 32:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na hata akaandika barua+ za kumshutumu Yehova Mungu wa Israeli+ na kuongea vibaya juu yake, akisema: “Kama miungu+ ya mataifa ya nchi, ambayo haikuwakomboa watu wake kutoka mkononi mwangu,+ vivyo hivyo Mungu wa Hezekia hatawakomboa watu wake kutoka mkononi mwangu.”

  • Isaya 10:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Na itatukia kwamba Yehova atakapokomesha kazi yake yote katika Mlima Sayuni na katika Yerusalemu, ndipo nitakapotoza hesabu kwa ajili ya matunda ya dharau la moyo wa mfalme wa Ashuru na kwa ajili ya kujihesabia makuu kwa majivuno ya macho yake.+

  • Isaya 36:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 ili Hezekia asiwashawishi ninyi,+ akisema, ‘Yehova mwenyewe atatukomboa.’ Je, kila mmoja wa miungu ya mataifa ameikomboa nchi yake mwenyewe kutoka mkononi mwa mfalme wa Ashuru?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki