23 Kupitia wajumbe wako+ umemdhihaki Yehova+ ukisema,
‘Kwa wingi wa magari yangu ya vita
Nitapanda vilele vya milima,
Sehemu za mbali sana za Lebanoni.
Nitakata mierezi yake mirefu sana, miberoshi yake iliyo bora.
Nitaingia mahali pake palipo ndani kabisa, misitu yake yenye miti mingi sana.