Kumbukumbu la Torati 28:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Utabarikiwa unapoingia ndani, na utabarikiwa unapotoka nje.+ Zaburi 121:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yehova mwenyewe atalinda kuondoka kwako na kuingia kwako+Tangu sasa na mpaka wakati usio nakipimo.+ Methali 5:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa maana njia za mwanadamu ziko mbele za macho ya Yehova,+ naye anayatafakari mapito yake yote.+
8 Yehova mwenyewe atalinda kuondoka kwako na kuingia kwako+Tangu sasa na mpaka wakati usio nakipimo.+