1 Mambo ya Nyakati 22:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Utafanikiwa ikiwa utashika kwa uangalifu masharti+ na sheria* ambazo Yehova alimwamuru Musa awape Waisraeli.+ Uwe jasiri na imara. Usiogope wala usihofu.+
13 Utafanikiwa ikiwa utashika kwa uangalifu masharti+ na sheria* ambazo Yehova alimwamuru Musa awape Waisraeli.+ Uwe jasiri na imara. Usiogope wala usihofu.+