Mambo ya Walawi 19:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Kwa hiyo ni lazima mshike masharti yangu yote na sheria zangu zote,* mnapaswa kuzifuata.+ Mimi ni Yehova.’” 1 Mambo ya Nyakati 28:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nitauimarisha kabisa ufalme wake milele+ ikiwa atazishika kwa dhati amri zangu na sheria zangu,*+ kama anavyofanya sasa.’
37 Kwa hiyo ni lazima mshike masharti yangu yote na sheria zangu zote,* mnapaswa kuzifuata.+ Mimi ni Yehova.’”
7 Nitauimarisha kabisa ufalme wake milele+ ikiwa atazishika kwa dhati amri zangu na sheria zangu,*+ kama anavyofanya sasa.’