Mwanzo 35:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa hiyo Raheli akafa na kuzikwa njiani kuelekea Efrathi, yaani, Bethlehemu.+ Mwanzo 48:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nami, nilipokuwa nikija kutoka Padani,+ Raheli alikufa+ kando yangu njiani katika nchi ya Kanaani wakati kulipokuwa kungali mwendo mkubwa kabla ya kufika Efrathi,+ basi nikamzika huko kwenye njia ya kwenda Efrathi, yaani, Bethlehemu.”+
7 Nami, nilipokuwa nikija kutoka Padani,+ Raheli alikufa+ kando yangu njiani katika nchi ya Kanaani wakati kulipokuwa kungali mwendo mkubwa kabla ya kufika Efrathi,+ basi nikamzika huko kwenye njia ya kwenda Efrathi, yaani, Bethlehemu.”+