Mwanzo 48:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nilipokuwa nikitoka Padani, Raheli alikufa+ kando yangu katika nchi ya Kanaani, na bado tulikuwa na safari ndefu kabla ya kufika Efrathi.+ Kwa hiyo nikamzika huko nikiwa njiani kuelekea Efrathi, yaani, Bethlehemu.”+
7 Nilipokuwa nikitoka Padani, Raheli alikufa+ kando yangu katika nchi ya Kanaani, na bado tulikuwa na safari ndefu kabla ya kufika Efrathi.+ Kwa hiyo nikamzika huko nikiwa njiani kuelekea Efrathi, yaani, Bethlehemu.”+