12 Basi Daudi alikuwa mwana wa Yese,+ Mwefrathi+ kutoka mji wa Bethlehemu+ wa Yuda, ambaye alikuwa na wana wanane+ na ambaye katika siku za Sauli alikuwa tayari amezeeka.
6 ‘Na wewe, ewe Bethlehemu ya nchi ya Yuda, wewe si mji mdogo zaidi miongoni mwa magavana wa Yuda, kwa maana kutoka kwako atakuja kiongozi, atakayewachunga watu wangu Israeli.’”+