Mwanzo 33:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Baada ya muda Yakobo akafika jiji la Shekemu+ lililo katika nchi ya Kanaani+ akiwa salama salimini, alipokuwa akija kutoka Padan-aramu,+ naye akapiga kambi mbele ya jiji hilo. Hosea 12:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na Yakobo akakimbia kwenda katika nchi ya Siria,+ na Israeli+ akaendelea kutumikia apate mke,+ naye akalinda kondoo apate mke.+
18 Baada ya muda Yakobo akafika jiji la Shekemu+ lililo katika nchi ya Kanaani+ akiwa salama salimini, alipokuwa akija kutoka Padan-aramu,+ naye akapiga kambi mbele ya jiji hilo.
12 Na Yakobo akakimbia kwenda katika nchi ya Siria,+ na Israeli+ akaendelea kutumikia apate mke,+ naye akalinda kondoo apate mke.+