Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 28:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na Mungu Mweza-Yote atakubariki na kukufanya uzae na kukuzidisha, nawe utakuwa kutaniko la vikundi vya watu.+

  • Mwanzo 35:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Wana wa Lea walikuwa Rubeni,+ mzaliwa wa kwanza wa Yakobo, na Simeoni na Lawi na Yuda na Isakari na Zabuloni.

  • Mwanzo 35:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Wana wa Raheli walikuwa Yosefu na Benyamini.

  • Mwanzo 46:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Hawa ndio wana wa Lea,+ aliomzalia Yakobo huko Padan-aramu, na binti yake Dina.+ Nafsi zote za wanawe na za binti zake zilikuwa ni 33.

  • Mwanzo 46:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Hao ndio wana wa Zilpa,+ ambaye Labani alimpa binti yake Lea. Mwishowe akamzalia Yakobo hao: nafsi 16.

  • Mwanzo 46:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Hao ndio wana wa Raheli ambao alimzalia Yakobo. Nafsi zote zilikuwa 14.

  • Mwanzo 46:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Hao ndio wana wa Bilha,+ ambaye Labani alimpa Raheli binti yake. Mwishowe akamzalia Yakobo hao; nafsi zote zilikuwa 7.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki