Kumbukumbu la Torati 32:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Alimpata katika nchi ya nyika,+Na katika jangwa tupu, lenye kulia.+Alianza kumzunguka,+ kumtunza,+Kumlinda kama mboni ya jicho lake.+ Zekaria 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa maana Yehova wa majeshi amesema hivi, ‘Baada ya utukufu+ amenituma kwa mataifa yaliyokuwa yakiwapora ninyi;+ kwa maana yeye anayewagusa ninyi+ anaigusa mboni ya jicho langu.+
10 Alimpata katika nchi ya nyika,+Na katika jangwa tupu, lenye kulia.+Alianza kumzunguka,+ kumtunza,+Kumlinda kama mboni ya jicho lake.+
8 Kwa maana Yehova wa majeshi amesema hivi, ‘Baada ya utukufu+ amenituma kwa mataifa yaliyokuwa yakiwapora ninyi;+ kwa maana yeye anayewagusa ninyi+ anaigusa mboni ya jicho langu.+