Zaburi 17:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Unitunze kama mboni ya jicho,+Katika kivuli cha mabawa yako unifiche,+ Zaburi 57:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 57 Unionyeshe kibali, Ee Mungu, unionyeshe kibali,+Kwa maana nafsi yangu imekukimbilia wewe;+Na katika kivuli cha mabawa yako nimekimbilia mpaka shida zipitilie mbali.+ Zaburi 63:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana umenisaidia,+Na katika kivuli cha mabawa yako napiga vigelegele kwa shangwe.+ Zaburi 91:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa manyoya yake ataweka kizuizi usiweze kufikiwa,+Nawe utapata kimbilio chini ya mabawa yake.+Ukweli+ wake utakuwa ngao+ kubwa na boma.
57 Unionyeshe kibali, Ee Mungu, unionyeshe kibali,+Kwa maana nafsi yangu imekukimbilia wewe;+Na katika kivuli cha mabawa yako nimekimbilia mpaka shida zipitilie mbali.+
4 Kwa manyoya yake ataweka kizuizi usiweze kufikiwa,+Nawe utapata kimbilio chini ya mabawa yake.+Ukweli+ wake utakuwa ngao+ kubwa na boma.