Ufunuo 16:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Hayo, kwa kweli, ni maneno yanayoongozwa+ na roho waovu nayo yanafanya ishara,+ nayo yanakwenda kwa wafalme+ wa dunia nzima inayokaliwa,+ ili kuwakusanya pamoja kwa vita+ vya ile siku kuu+ ya Mungu Mweza-Yote.+
14 Hayo, kwa kweli, ni maneno yanayoongozwa+ na roho waovu nayo yanafanya ishara,+ nayo yanakwenda kwa wafalme+ wa dunia nzima inayokaliwa,+ ili kuwakusanya pamoja kwa vita+ vya ile siku kuu+ ya Mungu Mweza-Yote.+