Mwanzo 15:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ndipo akamtoa nje na kusema: “Tafadhali, tazama juu mbinguni uzihesabu nyota, ikiwa unaweza kuzihesabu.”+ Naye akaendelea kumwambia: “Ndivyo utakavyokuwa uzao wako.”+ Kumbukumbu la Torati 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Yehova Mungu wenu amewazidisha ninyi, na tazama, ninyi leo ni kama nyota za mbinguni kwa wingi.+ Nehemia 9:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Na wana wao ukawafanya kuwa wengi kama nyota za mbinguni.+ Kisha ukawaleta katika nchi+ ambayo ulikuwa umewaahidi mababu zao+ kwamba wanapaswa waingie na kuimiliki.
5 Ndipo akamtoa nje na kusema: “Tafadhali, tazama juu mbinguni uzihesabu nyota, ikiwa unaweza kuzihesabu.”+ Naye akaendelea kumwambia: “Ndivyo utakavyokuwa uzao wako.”+
23 Na wana wao ukawafanya kuwa wengi kama nyota za mbinguni.+ Kisha ukawaleta katika nchi+ ambayo ulikuwa umewaahidi mababu zao+ kwamba wanapaswa waingie na kuimiliki.