Kutoka 24:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kisha Musa akaingia katikati ya wingu na kwenda juu katika mlima.+ Naye Musa akakaa mlimani siku 40, mchana na usiku.+ Kutoka 34:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Naye akaendelea kuwa huko pamoja na Yehova siku 40, mchana na usiku. Hakula mkate wala hakunywa maji.+ Naye akaandika juu ya yale mabamba maneno ya lile agano, yale Maneno Kumi.+
18 Kisha Musa akaingia katikati ya wingu na kwenda juu katika mlima.+ Naye Musa akakaa mlimani siku 40, mchana na usiku.+
28 Naye akaendelea kuwa huko pamoja na Yehova siku 40, mchana na usiku. Hakula mkate wala hakunywa maji.+ Naye akaandika juu ya yale mabamba maneno ya lile agano, yale Maneno Kumi.+