Mwanzo 20:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Basi Abimeleki akachukua kondoo na ng’ombe na watumishi wanaume na wajakazi, akampa Abrahamu na kumrudishia mke wake Sara.+ Mwanzo 24:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Na Yehova amembariki bwana wangu sana kwa kuwa anaendelea kumfanya mkuu zaidi na kumpa kondoo na ng’ombe na fedha na dhahabu na watumishi wanaume na wajakazi na ngamia na punda.+
14 Basi Abimeleki akachukua kondoo na ng’ombe na watumishi wanaume na wajakazi, akampa Abrahamu na kumrudishia mke wake Sara.+
35 Na Yehova amembariki bwana wangu sana kwa kuwa anaendelea kumfanya mkuu zaidi na kumpa kondoo na ng’ombe na fedha na dhahabu na watumishi wanaume na wajakazi na ngamia na punda.+