Mwanzo 13:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Naye Abramu alikuwa na utajiri mwingi wa mifugo na fedha na dhahabu.+ Zaburi 107:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Naye huwabariki hivi kwamba wanakuwa wengi sana;+Wala haachi ng’ombe wao wawe wachache.+