35 Na Yehova amembariki bwana wangu sana kwa kuwa anaendelea kumfanya mkuu zaidi na kumpa kondoo na ng’ombe na fedha na dhahabu na watumishi wanaume na wajakazi na ngamia na punda.+
18 Nawe umkumbuke Yehova Mungu wako, kwa sababu yeye ndiye anayekupa nguvu za kufanyiza mali;+ ili kutimiza agano lake ambalo aliwaapia mababu zako, kama ilivyo leo hii.+