25 Kisha wakaketi ili kula mkate.+ Walipoinua macho yao na kutazama, kumbe, kulikuwa na msafara wa Waishmaeli+ uliokuwa ukija kutoka Gileadi, na ngamia zao walikuwa wamebeba ubani mweusi na zeri na gome lenye utomvu,+ wakiwa njiani kuzipeleka Misri.
18 lakini hilo eneo lenye milima linapaswa kuwa lenu.+ Kwa kuwa ni msitu, ukateni, nalo liwe ndilo mpaka wa mwisho kwa ajili yenu. Kwa kuwa mnapaswa kuwafukuza Wakanaani, ijapokuwa wana magari ya vita yenye miundu ya chuma nao wana nguvu.”+