7 Basi wakayapa hali ya utakatifu majiji ya Kedeshi+ katika Galilaya katika eneo lenye milima la Naftali, na Shekemu+ katika eneo lenye milima la Efraimu, na Kiriath-arba,+ yaani, Hebroni, katika eneo lenye milima la Yuda.
5 Naye alikuwa anakaa chini ya mtende wa Debora kati ya Rama+ na Betheli+ katika eneo lenye milima la Efraimu; na wana wa Israeli wakawa wakimwendea ili awahukumu.