Yoshua 17:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 eneo lenye milima litakuwa lenu pia.+ Ingawa ni msitu, ufyekeni, utakuwa mwisho wa eneo lenu. Mtawafukuza Wakanaani, hata kama wana nguvu na wana magari ya vita yenye miundu ya chuma.”*+
18 eneo lenye milima litakuwa lenu pia.+ Ingawa ni msitu, ufyekeni, utakuwa mwisho wa eneo lenu. Mtawafukuza Wakanaani, hata kama wana nguvu na wana magari ya vita yenye miundu ya chuma.”*+