20“Mkienda vitani kupigana na maadui wenu na kuona kwamba farasi wao na magari yao ya vita na wanajeshi wao ni wengi kuliko ninyi, msiwaogope, kwa maana Yehova Mungu wenu aliyewatoa nchini Misri yuko pamoja nanyi.+
6 Iweni jasiri na imara.+ Msiogope wala msiwe na hofu mbele yao,+ kwa sababu Yehova Mungu wenu ndiye anayepiga mwendo pamoja nanyi. Hatawatupa wala kuwaacha.”+
6 wakaaji wote wa eneo lenye milima kuanzia Lebanoni+ hadi Misrefoth-maimu;+ na Wasidoni wote.+ Nitawafukuza* mbele ya Waisraeli.+ Utaigawanya nchi hiyo na kuwapa Waisraeli kuwa urithi wao, kama nilivyokuamuru.+