Mwanzo 49:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Isakari+ ni punda mwenye mifupa migumu, aliyelala katikati ya matandiko yenye mifuko miwili. Yoshua 19:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kura ya nne ilitokea kwa ajili ya Isakari,+ kwa ajili ya wana wa Isakari kulingana na familia zao.
17 Kura ya nne ilitokea kwa ajili ya Isakari,+ kwa ajili ya wana wa Isakari kulingana na familia zao.