5 Kwa maana yeye ndiye ambaye Yehova Mungu wako amechagua kutoka kati ya makabila yako yote, asimame ili kuhudumu katika jina la Yehova, yeye na wanawe, sikuzote.+
6 Sheria ya kweli ilikuwa katika kinywa chake,+ wala ukosefu wa uadilifu haukupatikana midomoni mwake. Kwa amani na kwa unyoofu alitembea nami,+ na wale aliogeuza kutoka katika kosa walikuwa wengi.+