8 Basi Musa akaichukua damu na kuinyunyiza juu ya watu+ na kusema: “Tazama, hii ndiyo damu ya agano+ ambalo Yehova amefanya pamoja nanyi kuhusu maneno yote haya.”
5 Lakini, baadhi ya wale wa madhehebu ya Mafarisayo waliokuwa wameamini wakasimama kutoka kwenye viti vyao na kusema: “Ni lazima kuwatahiri+ na kuwaamuru washike sheria ya Musa.”+