Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 19:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na ninyi wenyewe mtakuwa kwangu ufalme wa makuhani na taifa takatifu.’+ Hayo ndiyo maneno utakayowaambia wana wa Israeli.”

  • Hesabu 23:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Kwa maana kutoka juu ya miamba nawaona wao,

      Na kutoka vilimani nawatazama wao.

      Wakiwa kikundi cha watu wanaendelea kukaa wakiwa wamejitenga,+

      Nao hawajihesabu katikati ya mataifa.+

  • Kumbukumbu la Torati 4:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Au je, Mungu alijaribu kuja kuchukua taifa kwa ajili yake mwenyewe kutoka kati ya taifa lingine kwa uthibitisho,+ kwa ishara+ na kwa miujiza+ na kwa vita+ na kwa mkono wenye nguvu+ na kwa mkono ulionyooshwa+ na kwa woga mkuu+ kama yote ambayo Yehova Mungu wenu amewafanyia ninyi katika Misri mbele ya macho yako?

  • Kumbukumbu la Torati 32:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Kwa maana fungu la Yehova ni watu wake;+

      Yakobo ndiye mgawo anaorithi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki