Kumbukumbu la Torati 26:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mwishowe Yehova akatuleta kutoka Misri kwa mkono wenye nguvu+ na mkono ulionyooshwa+ na kwa woga+ mkuu na kwa ishara na miujiza.+ Zaburi 78:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Akapeleka juu yao hasira yake inayowaka,+Ghadhabu na shutuma na taabu,+Wajumbe wa malaika wanaoleta msiba.+ Yeremia 32:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Nawe ukawatoa watu wako Israeli katika nchi ya Misri,+ kwa ishara na kwa miujiza+ na kwa mkono wenye nguvu na kwa mkono ulionyooshwa na kwa hali kuu ya kuogopesha.+
8 Mwishowe Yehova akatuleta kutoka Misri kwa mkono wenye nguvu+ na mkono ulionyooshwa+ na kwa woga+ mkuu na kwa ishara na miujiza.+
49 Akapeleka juu yao hasira yake inayowaka,+Ghadhabu na shutuma na taabu,+Wajumbe wa malaika wanaoleta msiba.+
21 Nawe ukawatoa watu wako Israeli katika nchi ya Misri,+ kwa ishara na kwa miujiza+ na kwa mkono wenye nguvu na kwa mkono ulionyooshwa na kwa hali kuu ya kuogopesha.+