Kutoka 33:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na sasa itajulikana jinsi gani kwamba nimepata kibali machoni pako, mimi na watu wako? Je, si kwa wewe kwenda pamoja nasi,+ kwa kuwa mimi na watu wako tumefanywa tofauti na watu wengine wote walio juu ya uso wa nchi?”+ Kumbukumbu la Torati 32:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Wakati Aliye Juu Zaidi alipoyapa mataifa urithi,+Alipowatenganisha wana wa Adamu,+Ndipo alipoweka mpaka wa vikundi vya watu+Kuhusiana na hesabu ya wana wa Israeli.+
16 Na sasa itajulikana jinsi gani kwamba nimepata kibali machoni pako, mimi na watu wako? Je, si kwa wewe kwenda pamoja nasi,+ kwa kuwa mimi na watu wako tumefanywa tofauti na watu wengine wote walio juu ya uso wa nchi?”+
8 Wakati Aliye Juu Zaidi alipoyapa mataifa urithi,+Alipowatenganisha wana wa Adamu,+Ndipo alipoweka mpaka wa vikundi vya watu+Kuhusiana na hesabu ya wana wa Israeli.+