Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 11:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Ndipo Yehova akashuka katika wingu,+ akasema naye,+ akachukua sehemu ya roho+ iliyokuwa juu yake na kuiweka juu ya kila mmoja wa wale wanaume wazee 70. Na ikawa kwamba mara tu roho hiyo ilipotua juu yao, ndipo wakaanza kutenda kama manabii; lakini hawakufanya hivyo tena.+

  • 1 Samweli 19:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Mara moja Sauli akatuma wajumbe wamkamate Daudi. Nao walipowaona walio wazee kati ya manabii wakitoa unabii, na Samweli akiwa amesimama katika cheo chake juu yao, roho+ ya Mungu ikaja juu ya wale wajumbe wa Sauli, nao pia wakaanza kutenda kama manabii.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 15:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Sasa roho+ ya Mungu ikaja juu ya Azaria mwana wa Odedi.+

  • 1 Wakorintho 12:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 mwingine bado hupewa utendaji wa matendo yenye nguvu,+ mwingine kutoa unabii,+ mwingine utambuzi+ wa maneno yaliyoongozwa na roho,+ mwingine lugha+ tofauti, na mwingine fasiri+ ya lugha.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki