17 Na wakati wowote wingu hilo lilipoinuka kutoka juu ya hema, wana wa Israeli walikuwa wakiondoka mara moja baada yake,+ na mahali ambapo wingu hilo lilikuwa likikaa, hapo ndipo wana wa Israeli walipokuwa wakipiga kambi.+
22 Iwe wingu hilo lilirefusha kukaa kwake juu ya maskani kwa siku mbili au mwezi au siku zaidi, wana wa Israeli waliendelea kukaa katika kambi nao hawakuwa wakiondoka, lakini lilipoinuka waliondoka.+