8 Katika siku moja ya sabato baada ya nyingine atauweka kwa utaratibu mbele za Yehova daima.+ Ni agano pamoja na wana wa Israeli mpaka wakati usio na kipimo.
6 Basi kuhani akampa kilicho kitakatifu,+ kwa sababu hakukuwa na mkate mwingine hapo isipokuwa mkate wa wonyesho uliokuwa umeondolewa mbele za Yehova+ ili kuweka mkate mpya hapo, siku ambayo uliondolewa.