Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 25:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Nawe utauweka mkate wa wonyesho juu ya meza hiyo mbele zangu daima.+

  • Mambo ya Walawi 24:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Nawe utachukua unga laini na kuuoka uwe keki kumi na mbili za mviringo. Kila keki itafanyizwa kwa sehemu mbili za efa.

  • Mambo ya Walawi 24:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Nao utakuwa wa Haruni na wa wanawe,+ nao wataula katika mahali patakatifu,+ kwa sababu ni kitu kitakatifu zaidi kwa ajili yake kutoka kwa matoleo ya Yehova yanayotolewa kwa njia ya moto, kama sharti mpaka wakati usio na kipimo.”

  • Mathayo 12:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Jinsi alivyoingia ndani ya nyumba ya Mungu nao wakala mikate ya toleo,+ kitu ambacho kisheria yeye, wala wale waliokuwa pamoja naye hawakuruhusiwa+ kula, ila makuhani+ tu?

  • Luka 6:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Jinsi alivyoingia ndani ya nyumba ya Mungu akapokea mikate ya toleo+ naye akala na kuwapa watu waliokuwa pamoja naye baadhi yake, ambayo si halali kwa mtu yeyote kula ila makuhani tu?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki