30 Ataleta mafuta+ pamoja na kidari kwa mikono yake mwenyewe ili vitu hivyo viwe dhabihu kwa Yehova inayochomwa kwa moto, naye atavitikisa kwenda mbele na nyuma vikiwa toleo la kutikiswa+ mbele za Yehova.
21 Basi Walawi wakajitakasa na kufua mavazi yao,+ kisha Haruni akawatoa* kama toleo la kutikiswa mbele za Yehova.+ Halafu Haruni akatoa dhabihu ya kufunika dhambi zao ili kuwatakasa.+