Kutoka 6:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Sasa Haruni alimwoa Elisheba, binti ya Aminadabu, dada ya Nashoni.+ Akamzalia Haruni wana hawa: Nadabu, Abihu, Eleazari, na Ithamari.+ Hesabu 4:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Huo ndio utumishi utakaofanywa na familia za Wagershoni katika hema la mkutano;+ watasimamiwa na Ithamari+ mwana wa kuhani Haruni. 1 Mambo ya Nyakati 6:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Watoto* wa Amramu+ walikuwa Haruni,+ Musa,+ na pia Miriamu.+ Na wana wa Haruni walikuwa Nadabu, Abihu,+ Eleazari,+ na Ithamari.+
23 Sasa Haruni alimwoa Elisheba, binti ya Aminadabu, dada ya Nashoni.+ Akamzalia Haruni wana hawa: Nadabu, Abihu, Eleazari, na Ithamari.+
28 Huo ndio utumishi utakaofanywa na familia za Wagershoni katika hema la mkutano;+ watasimamiwa na Ithamari+ mwana wa kuhani Haruni.
3 Watoto* wa Amramu+ walikuwa Haruni,+ Musa,+ na pia Miriamu.+ Na wana wa Haruni walikuwa Nadabu, Abihu,+ Eleazari,+ na Ithamari.+