Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 6:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Sasa Haruni alimwoa Elisheba, binti ya Aminadabu, dada ya Nashoni.+ Akamzalia Haruni wana hawa: Nadabu, Abihu, Eleazari, na Ithamari.+

  • Kutoka 28:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 “Utamleta Haruni+ ndugu yako pamoja na wanawe,+ Nadabu na Abihu,+ Eleazari na Ithamari+ kutoka miongoni mwa Waisraeli ili wanitumikie+ wakiwa makuhani.

  • Hesabu 4:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Huo ndio utumishi utakaofanywa na familia za Wagershoni katika hema la mkutano;+ watasimamiwa na Ithamari+ mwana wa kuhani Haruni.

  • 1 Mambo ya Nyakati 24:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Hata hivyo, Nadabu na Abihu walikufa kabla ya baba yao,+ nao hawakuwa na wana wowote; lakini Eleazari+ na Ithamari waliendelea kutumikia wakiwa makuhani.

  • 1 Mambo ya Nyakati 24:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kwa kuwa wana wa Eleazari walikuwa na viongozi wengi kuliko wana wa Ithamari, waliwagawa ifaavyo: Wana wa Eleazari walikuwa na viongozi 16 wa koo zao,* na wana wa Ithamari walikuwa na viongozi 8 wa koo zao.*

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki