Kutoka 6:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Sasa Haruni alimwoa Elisheba, binti ya Aminadabu, dada ya Nashoni.+ Akamzalia Haruni wana hawa: Nadabu, Abihu, Eleazari, na Ithamari.+ Hesabu 4:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Hivyo ndivyo familia za wana wa Merari+ zitakavyotumikia katika hema la mkutano chini ya usimamizi wa Ithamari mwana wa kuhani Haruni.”+ Hesabu 7:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 akawapa wana wa Merari magari manne na ng’ombe dume wanane kulingana na mahitaji ya kazi yao, chini ya usimamizi wa Ithamari mwana wa kuhani Haruni.+
23 Sasa Haruni alimwoa Elisheba, binti ya Aminadabu, dada ya Nashoni.+ Akamzalia Haruni wana hawa: Nadabu, Abihu, Eleazari, na Ithamari.+
33 Hivyo ndivyo familia za wana wa Merari+ zitakavyotumikia katika hema la mkutano chini ya usimamizi wa Ithamari mwana wa kuhani Haruni.”+
8 akawapa wana wa Merari magari manne na ng’ombe dume wanane kulingana na mahitaji ya kazi yao, chini ya usimamizi wa Ithamari mwana wa kuhani Haruni.+