Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 3:36, 37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Wana wa Merari walikuwa na majukumu ya kusimamia viunzi+ vya hema la ibada, fito zake,+ nguzo zake,+ vikalio vyake, vyombo vyake vyote,+ na utumishi wote uliohusiana na vitu hivyo,+ 37 na pia nguzo zote zilizozunguka ua na vikalio vyake,+ vigingi vya hema, na kamba za hema hilo.

  • Hesabu 4:31-33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Ni jukumu lao kubeba+ vitu vifuatavyo vinavyohusiana na utumishi wao katika hema la mkutano: viunzi+ vya hema la ibada, fito zake,+ nguzo zake,+ vikalio vyake;+ 32 nguzo+ za ua unaozunguka pande zote, vikalio vyake,+ vigingi vyake vya hema,+ na kamba za hema hilo pamoja na vifaa vyake vyote na utumishi wote unaohusiana na hema la ibada. Utamgawia kila mmoja wao kwa jina vifaa anavyopaswa kubeba. 33 Hivyo ndivyo familia za wana wa Merari+ zitakavyotumikia katika hema la mkutano chini ya usimamizi wa Ithamari mwana wa kuhani Haruni.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki