-
Hesabu 4:31, 32Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
31 Ni jukumu lao kubeba+ vitu vifuatavyo vinavyohusiana na utumishi wao katika hema la mkutano: viunzi+ vya hema la ibada, fito zake,+ nguzo zake,+ vikalio vyake;+ 32 nguzo+ za ua unaozunguka pande zote, vikalio vyake,+ vigingi vyake vya hema,+ na kamba za hema hilo pamoja na vifaa vyake vyote na utumishi wote unaohusiana na hema la ibada. Utamgawia kila mmoja wao kwa jina vifaa anavyopaswa kubeba.
-