19 “Utatengeneza vikalio 40 vya fedha+ chini ya vile viunzi 20: vikalio viwili chini ya kiunzi kimoja pamoja na ndimi zake mbili, na vikalio viwili chini ya kila kiunzi kinachofuata pamoja na ndimi zake mbili.+
27 Talanta 100 za fedha zilitumiwa kutengeneza vikalio vya mahali patakatifu na vikalio vya pazia; talanta 100 zilitumiwa kutengeneza vikalio 100, talanta moja kwa kila kikalio.+