Kutoka 24:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kisha akamwambia Musa: “Panda uje kwangu mimi Yehova, wewe na Haruni, Nadabu na Abihu,+ na wazee 70 wa Israeli, nanyi mwiname chini mkiwa mbali. Mambo ya Walawi 10:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Baadaye Nadabu na Abihu,+ wana wa Haruni, walichukua kila mmoja wao chetezo chake, wakaweka moto ndani yake na kutia uvumba.+ Wakaanza kumtolea Yehova moto haramu,+ jambo ambalo hakuwaamuru wafanye.
24 Kisha akamwambia Musa: “Panda uje kwangu mimi Yehova, wewe na Haruni, Nadabu na Abihu,+ na wazee 70 wa Israeli, nanyi mwiname chini mkiwa mbali.
10 Baadaye Nadabu na Abihu,+ wana wa Haruni, walichukua kila mmoja wao chetezo chake, wakaweka moto ndani yake na kutia uvumba.+ Wakaanza kumtolea Yehova moto haramu,+ jambo ambalo hakuwaamuru wafanye.