Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 30:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Hampaswi kufukiza uvumba usio halali+ au kutoa juu yake dhabihu ya kuteketezwa au toleo la nafaka, wala hampaswi kumimina juu yake toleo la kinywaji.

  • Mambo ya Walawi 10:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Wewe na wanao msinywe divai au kileo chochote mnapoingia katika hema la mkutano,+ msije mkafa. Ni sheria ya kudumu katika vizazi vyenu.

  • Mambo ya Walawi 16:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Yehova akazungumza na Musa baada ya wana wawili wa Haruni kufa kwa sababu ya kumkaribia Yehova.+ 2 Yehova akamwambia Musa: “Mwambie Haruni ndugu yako asiingie mahali patakatifu+ nyuma ya pazia+ mbele ya kifuniko cha sanduku la agano wakati wowote tu, asije akafa,+ kwa sababu nitatokea katika wingu juu ya kifuniko hicho.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki