- 
	                        
            
            Mambo ya Walawi 16:1, 2Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
16 Yehova akazungumza na Musa baada ya wana wawili wa Haruni kufa kwa sababu ya kumkaribia Yehova.+ 2 Yehova akamwambia Musa: “Mwambie Haruni ndugu yako asiingie mahali patakatifu+ nyuma ya pazia+ mbele ya kifuniko cha sanduku la agano wakati wowote tu, asije akafa,+ kwa sababu nitatokea katika wingu juu ya kifuniko hicho.+
 
 -