Mambo ya Walawi 16:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na Yehova akamwambia Musa: “Sema na Haruni ndugu yako, asiwe akija nyakati zote katika mahali patakatifu+ ndani ya pazia,+ mbele ya kifuniko kilicho juu ya Sanduku, asije akafa;+ kwa sababu nitaonekana katika wingu+ juu ya kifuniko+ hicho. Mambo ya Walawi Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 16:2 w05 8/15 31; w96 7/1 9 Mambo ya Walawi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 16:2 The Watchtower,8/15/2005, uku. 317/1/1996, uku. 9
2 Na Yehova akamwambia Musa: “Sema na Haruni ndugu yako, asiwe akija nyakati zote katika mahali patakatifu+ ndani ya pazia,+ mbele ya kifuniko kilicho juu ya Sanduku, asije akafa;+ kwa sababu nitaonekana katika wingu+ juu ya kifuniko+ hicho.