Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 40:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Akaingiza sanduku la Ushahidi ndani ya hema la ibada na kuweka pazia+ ambalo lilifunika sanduku la Ushahidi,+ kama Yehova alivyomwamuru Musa.

  • Waebrania 6:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Tuna tumaini hilo+ kama nanga ya nafsi,* likiwa hakika na imara, nalo huingia ndani ya pazia,+

  • Waebrania 9:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Lakini nyuma ya pazia la pili+ kulikuwa na chumba cha hema kilichoitwa Patakatifu Zaidi.+

  • Waebrania 9:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 lakini kuhani mkuu huingia ndani ya chumba cha pili akiwa peke yake mara moja kwa mwaka,+ akiwa na damu,+ ambayo huitoa kwa ajili yake mwenyewe+ na kwa ajili ya dhambi ambazo watu+ walifanya bila kujua.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki