Kutoka 40:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Akaingiza sanduku la Ushahidi ndani ya hema la ibada na kuweka pazia+ ambalo lilifunika sanduku la Ushahidi,+ kama Yehova alivyomwamuru Musa. Waebrania 6:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Tuna tumaini hilo+ kama nanga ya nafsi,* likiwa hakika na imara, nalo huingia ndani ya pazia,+ Waebrania 9:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Lakini nyuma ya pazia la pili+ kulikuwa na chumba cha hema kilichoitwa Patakatifu Zaidi.+ Waebrania 9:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 lakini kuhani mkuu huingia ndani ya chumba cha pili akiwa peke yake mara moja kwa mwaka,+ akiwa na damu,+ ambayo huitoa kwa ajili yake mwenyewe+ na kwa ajili ya dhambi ambazo watu+ walifanya bila kujua.
21 Akaingiza sanduku la Ushahidi ndani ya hema la ibada na kuweka pazia+ ambalo lilifunika sanduku la Ushahidi,+ kama Yehova alivyomwamuru Musa.
7 lakini kuhani mkuu huingia ndani ya chumba cha pili akiwa peke yake mara moja kwa mwaka,+ akiwa na damu,+ ambayo huitoa kwa ajili yake mwenyewe+ na kwa ajili ya dhambi ambazo watu+ walifanya bila kujua.